Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

Natafuta Mwenza wa Maisha — Mwenye nia ya dhati tu

🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah kwa hio wanataka outings tu na kodi , na kula,, hahahahaha
Utapata tu kwa njia yoyote ile Mungu akutangulie
 
Mkuu, kwa njia hii utaokota majini.
Hakuna mwanamke mwenye akili timamu akajileta. Wewe kama una elfu 10 na mia 5 nenda mahali kaweke kambi uvizie wa uhakika.
 
Back
Top Bottom