Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 703
Awe mwanamke...Mwenye Hofu ya Mungu, uzuri wa wastani, urefu wa wastani.
Dini yoyote ndani ya Ukristo.
Umri wake kuanzia 27-30
Awe hajawahi kuolewa pia asiwe na Mtoto, Ila awe na Uwezo wa kuzaa maana nataka watoto wa4 waharaka haraka kisha tuanze kukuza tu.
Mimi ninahitaji mke ambaye tutaelewana na kuweka mipango ya maisha.
Mimi umri 35
Mrefu wa Wastani, Umbo langu ni wastani siko kwa wanene wala kwa wembamba. Elimu yangu ni Degree: Nimejiajiri..
Sijao, Sina Mtoto
Kabila langu Mchaga
Naishi Dar es Salaam.
Email: minja.jojo@gmail.com
Ukitaka # y Simu Njoo PM nikupe.
Dini yoyote ndani ya Ukristo.
Umri wake kuanzia 27-30
Awe hajawahi kuolewa pia asiwe na Mtoto, Ila awe na Uwezo wa kuzaa maana nataka watoto wa4 waharaka haraka kisha tuanze kukuza tu.
Mimi ninahitaji mke ambaye tutaelewana na kuweka mipango ya maisha.
Mimi umri 35
Mrefu wa Wastani, Umbo langu ni wastani siko kwa wanene wala kwa wembamba. Elimu yangu ni Degree: Nimejiajiri..
Sijao, Sina Mtoto
Kabila langu Mchaga
Naishi Dar es Salaam.
Email: minja.jojo@gmail.com
Ukitaka # y Simu Njoo PM nikupe.