Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyu uliyemjibu na kumpa michambo yooote kwaniaba yetu mbna hukuongea nae kulingana na alichokisema? Akili yako ni ndogo sana mkuu. Utaniwia radhi, wewe ndiye mtu wa kwanza hapa jf nimekujibu kama ulivyokuja.Very constractive fact.. i like it.. huu ndio Ushauri.. siyo mijutu ina comment kuhusu Jina mara Uko mtaani hawapo.. yaan Tz tutachukua muda mrefu sana kuamka katika huu ulimwengu wa tech.. bado tuna Utopian-Socialism Mentality
The Pitch is all yours Sir!Sasa huyu uliyemjibu na kumpa michambo yooote kwaniaba yetu mbna hukuongea nae kulingana na alichokisema? Akili yako ni ndogo sana mkuu. Utaniwia radhi, wewe ndiye mtu wa kwanza hapa jf nimekujibu kama ulivyokuja.
Haha..
Husband material naye si haba ana vimichambo vyake khatari, wife to be, jipange..!!
Aisee Uelewa wa Watoto wa kike sijui una nini.. Yaan watu wamekuja inbox tumechati sana kujuana imefikia hatua kumuomba picha nimuone maanan ata mimi nimeweka picha yangu kwenye post.. yeye kesha niona atleast ana idea ya muonekano wangu umbo ..ila yeye hataki kitoa picha . sasa je anategemea kuwa mimi nita mpenda kwa yeye kuforce nikutane naye live??
Girls hatua ya kupena number au kukutana ni hatua ya juu sana .. tunatakiwa tuchat kujuana baadhi ya vitu.. siyo watu wanakuja wakitaka tukutane ili hali siwajui hata mionekano kwanin nipoteze muda kuset appointment kukutana na wewe ili hali sijakuona hata nishawishike kukutafuta?? yaan nikutane nawewe alafu nikuachie hapo bila hata kuongea na wewe maana kama hatuta vutiwa wote tutakuwa tumepotezeana muda.. so Ukija inbox uwe tayari kushare picha . nisingependa kuchati na kivuli bila kujua nachat na nani.
Umeongea point Sana,Aisee Uelewa wa Watoto wa kike sijui una nini.. Yaan watu wamekuja inbox tumechati sana kujuana imefikia hatua kumuomba picha nimuone maanan ata mimi nimeweka picha yangu kwenye post.. yeye kesha niona atleast ana idea ya muonekano wangu umbo ..ila yeye hataki kitoa picha . sasa je anategemea kuwa mimi nita mpenda kwa yeye kuforce nikutane naye live??
Girls hatua ya kupena number au kukutana ni hatua ya juu sana .. tunatakiwa tuchat kujuana baadhi ya vitu.. siyo watu wanakuja wakitaka tukutane ili hali siwajui hata mionekano kwanin nipoteze muda kuset appointment kukutana na wewe ili hali sijakuona hata nishawishike kukutafuta?? yaan nikutane nawewe alafu nikuachie hapo bila hata kuongea na wewe maana kama hatuta vutiwa wote tutakuwa tumepotezeana muda.. so Ukija inbox uwe tayari kushare picha . nisingependa kuchati na kivuli bila kujua nachat na nani.
Asante bro..Umeongea point Sana,
itakusaidia kupunguza magarasa na kuondoa laana zisizo na msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante .. kwa ushauri.. Ngoja niangalie njia rahisi ya kuwapa amani tuaminiane zaidi..na more step to be taken if necessary.Jaribu video call mkuu.. hata ivo km mtu upo karibu nae bora mpange appointment ya kuonana maana you can learn a lot from a person kwa kumuona live na kuongea.. hamna kitu kizuri kinakuja rahisi so you have to put your efforts apo
Us girls can be insecure sometimes and a lot of gut feelings unahisi ukituma picha labda ujikute hadharani since you cannot easily trust people nowdays[emoji2278] watu wetu wa JF ndo walivyo ukiwa sensitive unaharibiwa siku
All the best
Kwani we umeelewaje mrembo ?Nilidhani Ni Uji wa Njano kama ule unao utoa chooni baada ya wageni kula Wali Nazi kwako... Au sijakuelewa Dada yangu?
Haha..
Husband material naye si haba ana vimichambo vyake khatari, wife to be, jipange..!!
🤣🙌🏾Mbona unatafuta mchumba huku unatufokea aisee?
[emoji23][emoji23][emoji23] Wana utani hao mkuu.Aisee Uelewa wa Watoto wa kike sijui una nini.. Yaan watu wamekuja inbox tumechati sana kujuana imefikia hatua kumuomba picha nimuone maanan ata mimi nimeweka picha yangu kwenye post.. yeye kesha niona atleast ana idea ya muonekano wangu umbo ..ila yeye hataki kitoa picha . sasa je anategemea kuwa mimi nita mpenda kwa yeye kuforce nikutane naye live??
Girls hatua ya kupena number au kukutana ni hatua ya juu sana .. tunatakiwa tuchat kujuana baadhi ya vitu.. siyo watu wanakuja wakitaka tukutane ili hali siwajui hata mionekano kwanin nipoteze muda kuset appointment kukutana na wewe ili hali sijakuona hata nishawishike kukutafuta?? yaan nikutane nawewe alafu nikuachie hapo bila hata kuongea na wewe maana kama hatuta vutiwa wote tutakuwa tumepotezeana muda.. so Ukija inbox uwe tayari kushare picha . nisingependa kuchati na kivuli bila kujua nachat na nani.
[emoji1787][emoji2][emoji1787] umenikumbisha kitu, Kuna huyo mdada alisema mume wake anmpa vichambo vya haja, tena vile vya kwenye twaarab mpk mdada kashka adabu [emoji2][emoji2]Haha..
Husband material naye si haba ana vimichambo vyake khatari, wife to be, jipange..!!