Natafuta mwenza

alegeze masharti bwana. Masharti utafikiri mganga wa kienyeji.
heheeh mbona unamvunjia heshima mgombea wetu bana, unajua jamaa ana toyota 2? au haukusoma vzuri cv yake? halaf ana referens ya kufanya kazi ubalozi wa kazakistan
 
Napenda kuwashukuru wadau wote mlionichangia kwa mawazo na ushaur baadhi mlini pm, wengne kunicall nasema asanteni, nazidi kufarijika na kupata mawazo mapya. MUNGU IBARIKI JF IDUMU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…