Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
:A S 39::A S 39::A S 39::eyeroll1:Hahahahaha!Quote of the day!Nimeichakachua kidogo ila we utabaki kua origineta!
hapa ofisini bosi amekwenda likizo, nacover nafasi heheh watanikoma aisee! rule no. 1 hawa jinsia ya husninyo na lizzy lazima wavae vimini kazini adhawaizi mshahara nakata 20%i tek zem az ndege wajanja....
niombe razi japo mimi basi switihati, mwenzio lile jina la domo zege limenikosesha mpaka apetaiti ya kupiga msuwaki. hao kina hashycool unaweza ukaendelea kuwaita tu domo zege haina kwere kabisa yaani.
:A S 39::A S 39::A S 39::eyeroll1:
hapa ofisini bosi amekwenda likizo, nacover nafasi heheh watanikoma aisee! rule no. 1 hawa jinsia ya husninyo na lizzy lazima wavae vimini kazini adhawaizi mshahara nakata 20%
Nini wewe?Hutaki sasa?
hapa ofisini bosi amekwenda likizo, nacover nafasi heheh watanikoma aisee! rule no. 1 hawa jinsia ya husninyo na lizzy lazima wavae vimini kazini adhawaizi mshahara nakata 20%
wimbo gani sasa? twanga pepeta au kwaya za jon komba? wewe bana kama hauombi razi mimi sikugongei senksi tena. halaf nalog out kushinikiza msimamo wangu. wale wote ambao wana msimamo kama wangu naomba tulog out.Haya mwimbishe mtu nione kama sio zege nafuta kauli yangu kukuhusu!
Haya mwimbishe mtu nione kama sio zege nafuta kauli yangu kukuhusu!
pia anaweza kukwambia ukitaka kumpata husninyo au lizzy basi uhifadhi na kumemoraiz dictionary na index yake. khaaaa! JF bana, ni zaidi ya mtandao.
hahahahahaaa!!!!! habari ake afta ofc awaz!!Ona sasa huwezi kuwaimbisha wakutingie afta awaz unataka kuwachakachua kwa macho ofisini!
yote hayo yakwetu? sasa mbona huwa mnalala vifuani mwetu na kujisikia rahaaaa!!
kwa hiyo huwa mnalal kwenye vifua vya wakoloni?
kama wewe ni mod cheki unambie nimemtumia nani PM sasa hivi!
hapo hamna kuimbishwa bana. ni amri tu . bosi klorokwini akisema leo ukuje kazini bila kufuli inabidi ukubali tu.Ona sasa huwezi kuwaimbisha wakutingie afta awaz unataka kuwachakachua kwa macho ofisini!
Hahaha!Ukishindwa vyote ushachoka unaliangusha!Ntaelewa!ngoja nifanye hii kitu:smash::smash: then nianze kwa SLP :A S-coffee: na hivi 😛hone: Ikinishinda kabisa basi nirudi kwenye mpango mzima :bange:
hapa ofisini bosi amekwenda likizo, nacover nafasi heheh watanikoma aisee! rule no. 1 hawa jinsia ya husninyo na lizzy lazima wavae vimini kazini adhawaizi mshahara nakata 20%
hehehe kamanda , bosi akiludi hii ofisi nitakuwa tayari nimeigeuza night club. acha nilog out bana. waifu anataka kupelekwa shopping kununua ka wigi.naomba kazi ya hyumani lisosi nasikia huko no need kutongoza
wimbo gani sasa? twanga pepeta au kwaya za jon komba? wewe bana kama hauombi razi mimi sikugongei senksi tena. halaf nalog out kushinikiza msimamo wangu. wale wote ambao wana msimamo kama wangu naomba tulog out.
tutavaa tu maana miguu inaruhusu.
Hahaha!Mtafutie wakumsaidia kwenye praktiko!kaka kloro goldeni chansi neva kam twais