Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

hapo chacha. Mi muda mrefu nawasoma hata posts za nyuma.
Aibu na uoga hadi kwenye keyboard!

Hahahaha...domo zege mpaka kwenye keyboard!Sijui mtaani watakuaje...!
mumeanza kuzalilisha wanaume na nyinyi sio? mkileta za kuleta tutalifufua lile sredi la bikira na kutoa mimba muda si mrefu. haya ombeni razi haraka.
 
mumeanza kuzalilisha wanaume na nyinyi sio? mkileta za kuleta tutalifufua lile sredi la bikira na kutoa mimba muda si mrefu. haya ombeni razi haraka.

Sasa kama wanataka kupigwa sound wao tusemeje?
 
Enhee!Nikianza kutongoza ndo basi tena ntaanza kujilinganisha na wewe!
hivi nyie vipi bana!!! mara hatuna nguvu za kiume, mara tuna vibamia, mara sisi ni Marioo.....hatulipi bills, mara hatuli ubwabwa na vibua na familia.........sasa mnasema hatujui kumwaga sera.

Huu ni uzalilishaji wa a)kibaolojia b) kisaikolojia na c) kijinsia.
 
mumeanza kuzalilisha wanaume na nyinyi sio? mkileta za kuleta tutalifufua lile sredi la bikira na kutoa mimba muda si mrefu. haya ombeni razi haraka.

sasa mpaka maujanja tuwape sisi jamani.
Bidada anatafuta mchumba badala vidume vichangamke vinakonyeza konyeza screen tu.
 
Back
Top Bottom