Nani na Wewe,,,Utapata mwaya wasikukatishe tamaa
Amtafute miss natafutaLife limebana watu hadi wameanza kuwa na vichaaa sasa
Agata we vipi?Utapata mwaya wasikukatishe tamaa
atapata mwenzaAtampat
Nani na Wewe,,,
Me sio cheusi mangala nimekosa sifa hahaaAgata we vipi?
SawaHabari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu.
-Mimi ni kijana wa kiume, mwajiriwa private sector, sijawahi oa wala kuwa na mtoto, umefika mda nimeamua niwe na mwenza atakayekuja kuwa mke baadaye.
Vigezo;
1.Awe mucha Mungu na dini yoyote
2.Umri kuanzia miaka 20 hadi 26
3.Rangi mweusi, mnene wastani na urefu wa wastani
4.Awe tayari kuishi mkoa wowote
5.Awe mkweli na awe seriously na mahusiano maana sitaki kupotezeana mda
NB.Awe tayari kwenda kupima H.I.V kabla ya yote.
Ambaye yupo karibu Pm
Basi subiri nikipost mimi maana ntakulenga[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Me sio cheusi mangala nimekosa sifa hahaa
Kwani cheusi mangala maana yake nini?Me sio cheusi mangala nimekosa sifa hahaa
Rejea weusi Wa baraka..Kwani cheusi mangala maana yake nini?
OkRejea weusi Wa baraka..
Kijana tafuta anayekuvutia mchunguze kama tabia na vigezo mnaendana uongee nae kuhusu kumuoa, hii unayofanya ni tabia ya wanawake (hawawezi tongoza).Habari wana JF,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu.
-Mimi ni kijana wa kiume, mwajiriwa private sector, sijawahi oa wala kuwa na mtoto, umefika mda nimeamua niwe na mwenza atakayekuja kuwa mke baadaye.
Vigezo;
1.Awe mucha Mungu na dini yoyote
2.Umri kuanzia miaka 20 hadi 26
3.Rangi mweusi, mnene wastani na urefu wa wastani
4.Awe tayari kuishi mkoa wowote
5.Awe mkweli na awe seriously na mahusiano maana sitaki kupotezeana mda
NB.Awe tayari kwenda kupima H.I.V kabla ya yote.
Ambaye yupo karibu Pm