Babysitter
Member
- Jan 6, 2020
- 6
- 5
Nowadays kuolewa ni ajira.Habari
Mim ni mwanamke
Umri wangu ni miaka 27
Makazi yangu ni Dodoma
Nafanya kazi
Natafuta mwenza mwenye umri kuanzia miaka 30 hadi 40
Awe ni mkristo
Awe anaishi dodoma
Awe na stable source of income ( mpambanaji anae jitegemea
NB: awe ajaona na awe tayari kuwa kwenye mahusiano yenye tija.
Unafanya kazi gani hapo Dodoma? Halafu hayo masuala ya stable source of income mbona hayana kabisa uhusiano na unacho kitafuta!Habari
Mim ni mwanamke
Umri wangu ni miaka 27
Makazi yangu ni Dodoma
Nafanya kazi
Natafuta mwenza mwenye umri kuanzia miaka 30 hadi 40
Awe ni mkristo
Awe anaishi dodoma
Awe na stable source of income ( mpambanaji anae jitegemea
NB: awe ajaona na awe tayari kuwa kwenye mahusiano yenye tija.
Dm tuyajenge ondoa hofu ila kuwa seriousHuwa inanishangaza sana eti nikiona msichana anatuma tangazo la kutafuta mchumba wakati hata chizi wa mtaani hapa na ana bwana ake
Ntafute mim tuyajengeHabari
Mim ni mwanamke
Umri wangu ni miaka 27
Makazi yangu ni Dodoma
Nafanya kazi
Natafuta mwenza mwenye umri kuanzia miaka 30 hadi 40
Awe ni mkristo
Awe anaishi dodoma
Awe na stable source of income ( mpambanaji anae jitegemea
NB: awe ajaona na awe tayari kuwa kwenye mahusiano yenye tija.
khaaπββοΈπββοΈVp na Sisi wastaafu tunaohitaji wa kutubadilisha pampasi na kutupeleka juani kuota jua la asubuhi tunaruhusiwa kuja pm?
NB : pesa siyo tatizo
Hii age group mi nilishasemaga ni ya tushetani tudogo.Mkuu mbna unatutenga sisi wenye umri kuanzia 26..............
Sifa zetu..
..waaminifu
....tunajali
.....tunaurijali[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Kazi ni kwako....
Ainsdale na kazi unazozitaka mwenza wako afanye. Mimi ni mganga wa jadi na nina sifa zoteHabari
Mim ni mwanamke
Umri wangu ni miaka 27
Makazi yangu ni Dodoma
Nafanya kazi
Natafuta mwenza mwenye umri kuanzia miaka 30 hadi 40
Awe ni mkristo
Awe anaishi dodoma
Awe na stable source of income ( mpambanaji anae jitegemea
NB: awe ajaona na awe tayari kuwa kwenye mahusiano yenye tija.
Vocha,simu ya Samsung,Kodi ya nyumba,hela za salon,chakula,kuvaa,rangi za kucha,kusuguliwa miguu n.k,hivi unafikiri asipoweka hicho kigezo cha stable source of income hela itatoka wapi?kifupi hili tangazo sisi tusio na ajira halituhusu...Unafanya kazi gani hapo Dodoma? Halafu hayo masuala ya stable source of income mbona hayana kabisa uhusiano na unacho kitafuta!
Nadhani ungejikita kwanza kwenye urafiki/mahusiano. Halafu hayo mengine yatakulikana baadaye.
Unajua nyie akinamama mnapenda kusifiwa na kudanganywa! Hii kitu mna kikosa toka kwetu wazee. Huwa hampendi Kuzeeka, mnataka kuitwa spring chicken hapo roho zenu kwa tu. Hivi Vitoto vinajua kuigiza haswa. Vinaita baby, love, darling ambayo kwa sie unaweza ku hesabu ni miaka mingapi imepita mara ya mwisho kuambiwa I love you! Tatizo vinatafuta pesa nanyi mnazama jumla. Vitoto ninavyoeleza ni under 40!Hii age group mi nilishasemaga ni ya tushetani tudogo.
Unaweza kuwa mmama tu wa 40 years or wharever, single and not searching kabisa umetulia zako na life yako mishe zako zinaenda fresh aisee kakapita tu kamoja kakakupa hi.
Hautajua utajiingizaje kwenye mapenzi aisee. Tena yale ambayo hujajiingizaga before yakakuchanganya kabisa.π£π£
To be on the safe side, usiwaangalie mara mbili hata salamu usiwajibu. ***** zao.
umesahau kusema tuzee nato tumejichokea kimwili na ili kujimwambafy kwamba bado wanayaweza wanawinda tubinti tudogo.Unajua nyie akinamama mnapenda kusifiwa na kudanganywa! Hii kitu mna kikosa toka kwetu wazee. Huwa hampendi Kuzeeka, mnataka kuitwa spring chicken hapo roho zenu kwa tu. Hivi Vitoto vinajua kuigiza haswa. Vinaita baby, love, darling ambayo kwa sie unaweza ku hesabu ni miaka mingapi imepita mara ya mwisho kuambiwa I love you! Tatizo vinatafuta pesa nanyi mnazama jumla. Vitoto ninavyoeleza ni under 40!
Mimi ni ME lakiniumesahau kusema tuzee nato tumejichokea kimwili na ili kujimwambafy kwamba bado wanayaweza wanawinda tubinti tudogo.
Ila hutu tushetani tudogo dawa yao ni kukausha hata salamu. Hata wakija inbobo kausha utanishukuru baadae ππππ€£π€£
Najua sana.Mimi ni ME lakini