Natafuta Mwenza

Asee😲😲 nimerudia mara tatu kusoma

Mbn umechafukwa hivyo my dear,tena na tusi zito mwishoni? Kwani kilitokea nn Kati yako na hao under 30 my dear
 
Wewe una stable source ya nini tuanzie hapo kwanza.
 
Najua sana.
Nimepatwa na wasiwasi uliposema hapo juu kuwa wakija! Maana kama anayeweza kuja ni cocastic tu, wengine wanaenda kwa Ke tu
 
Huwa inanishangaza sana eti nikiona msichana anatuma tangazo la kutafuta mchumba wakati hata chizi wa mtaani hapa na ana bwana ake
Sasa kama huko mtaani hawaon au kishatumika sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…