Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Aseeπ²π² nimerudia mara tatu kusomaHii age group mi nilishasemaga ni ya tushetani tudogo.
Unaweza kuwa mmama tu wa 40 years or wharever, single and not searching kabisa umetulia zako na life yako mishe zako zinaenda fresh aisee kakapita tu kamoja kakakupa hi.
Hautajua utajiingizaje kwenye mapenzi aisee. Tena yale ambayo hujajiingizaga before yakakuchanganya kabisa.π£π£
To be on the safe side, usiwaangalie mara mbili hata salamu usiwajibu. ***** zao.
Najua sana.
Nimepatwa na wasiwasi uliposema hapo juu kuwa wakija! Maana kama anayeweza kuja ni cocastic tu, wengine wanaenda kwa Ke tuumesahau kusema tuzee nato tumejichokea kimwili na ili kujimwambafy kwamba bado wanayaweza wanawinda tubinti tudogo.
Ila hutu tushetani tudogo dawa yao ni kukausha hata salamu. Hata wakija inbobo kausha utanishukuru baadae ππππ€£π€£
Sasa kama huko mtaani hawaon au kishatumika sanaHuwa inanishangaza sana eti nikiona msichana anatuma tangazo la kutafuta mchumba wakati hata chizi wa mtaani hapa na ana bwana ake