Smart Contract
JF-Expert Member
- Sep 24, 2014
- 1,158
- 2,847
We endelea kujimwambafai wanawake wakiisha mtakao anza kuolewa ni wanaume weupe hahaaUkiona mwanamke anasema hataki kuwa na mwanaume mweupe ukimdadisi vizuri atakwambia wanaringa sana na mwanaume mweupe hawezi kuwa wa peke yako lazima wanawake wengine wanammezea mate.
Hiyo ndo siri kuu ya wanawake wengi kutopenda kuwa na mahusiano na wanaume weupe kwasababu huwa wanajihisi kutojaliwa.
Hili wamewahi kuniambia wanawake kadhaa kwahiyo naongea kwa uzoefu ulio hai sio wakusimuliwa tu.
Mbona wanaolewa sasa hiv kuliko Wanawake wenyewe.We endelea kujimwambafai wanawake wakiisha mtakao anza kuolewa ni wanaume weupe hahaa
hahahahahNina 56 yrs, single hebu tuyajenge
tunaweza yajenga ila sipo darMimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Chura unayo?Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Nahisi kama vile utakuwa unajibizana na mtoto mdogo...nahisi tu lakini.Mkuu mbona uzi hauhusu wanaume weupe au weusi!!
Hili ni jambo jipya ulilolileta baada ya kukosa sifa ya mleta uzi.
Wanaume weupe huonekana midebwedo na wengi wenu hamna sura za kiume kitu ambacho baadhi ya wanawake hawakipendi.
Kuna uzi ule wa mwanamke wa 40 yrs alisema anataka mwanaume mwenye sura ya kiume (ikiwa mbaya ataipenda zaidi), so ni ile kujihisi safe.(sijui unaelewa).
Na kiukweli nimeshangazwa sana na wewe mwanaume kujitetea namna hiyo kwa kitu nje ya uzi kabisa.
Nyuzi nyingi humu wanawake hutaka wanaume weusi, nadhani wao ndio wana majibu zaid na sio wewe na mimi.
Hapo Ofisini kwenu mbona wapo wanaume kibao Binti? chagua mmoja mtongoze acha uzembe!!Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
wazee above 50 ndiyo wanajua kuleaMimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Mkuu enzi za ujana ulikuwa wap? Ila kama ulikuwa unatafuta bac mrembo amepishana na gari la mshahara!Nina 56 yrs, single hebu tuyajenge
Nikikukabidhi moyo wanguMimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.
Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.
~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.
~ Awe na kazi.
~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.