Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

Mabinti wa mikoani mbona hawatumii hii platform ya JF kutafuta wenza tofauti na wenzao wa Dar?

Ukiona mtetea asiye na kifaranga anakimbiza jogoo jua kuna story ya kusisimua nyuma yake.
 
Ukiona mwanamke anasema hataki kuwa na mwanaume mweupe ukimdadisi vizuri atakwambia wanaringa sana na mwanaume mweupe hawezi kuwa wa peke yako lazima wanawake wengine wanammezea mate.

Hiyo ndo siri kuu ya wanawake wengi kutopenda kuwa na mahusiano na wanaume weupe kwasababu huwa wanajihisi kutojaliwa.

Hili wamewahi kuniambia wanawake kadhaa kwahiyo naongea kwa uzoefu ulio hai sio wakusimuliwa tu.
We endelea kujimwambafai wanawake wakiisha mtakao anza kuolewa ni wanaume weupe hahaa
 
Kama uliweza kujieleza hadi ukapata KAZI......unashindwaje kujieleza hivyo hivyo kwa mwanaume mwenye vigezo hivyo katika mazingira Yako yanayokuzunguka!?

usituogope...hatung'ati sisi
 
Umri mzuri sana huo; waswahili wanasema, umri wa maringo.
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
tunaweza yajenga ila sipo dar
0714461314
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Chura unayo?
 
Mkuu mbona uzi hauhusu wanaume weupe au weusi!!
Hili ni jambo jipya ulilolileta baada ya kukosa sifa ya mleta uzi.

Wanaume weupe huonekana midebwedo na wengi wenu hamna sura za kiume kitu ambacho baadhi ya wanawake hawakipendi.

Kuna uzi ule wa mwanamke wa 40 yrs alisema anataka mwanaume mwenye sura ya kiume (ikiwa mbaya ataipenda zaidi), so ni ile kujihisi safe.(sijui unaelewa).

Na kiukweli nimeshangazwa sana na wewe mwanaume kujitetea namna hiyo kwa kitu nje ya uzi kabisa.

Nyuzi nyingi humu wanawake hutaka wanaume weusi, nadhani wao ndio wana majibu zaid na sio wewe na mimi.
Nahisi kama vile utakuwa unajibizana na mtoto mdogo...nahisi tu lakini.
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Hapo Ofisini kwenu mbona wapo wanaume kibao Binti? chagua mmoja mtongoze acha uzembe!!
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
wazee above 50 ndiyo wanajua kulea
 
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza.

Sifa:
~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene kiasi, awe Mkristo pia.

~ Awe ni kijana kuanzia miaka 29-40.

~ Awe na kazi.

~Na awe mkazi wa Dar es Salaam.
Nikikukabidhi moyo wangu
Hivi utanitesa mie,
Naogopa nikikukabidhi moyo wangu
Nahofia utanitesa mie,
Wewe mtoto wa mjini
Umezoea bata, mimi sina hizo!
Nimekuzwa kwenya dini
Nisije kupa moyo, ukanizawadia pigo. peh peh peh peeeh [emoji448][emoji448][emoji448]
 
Back
Top Bottom