SAINT MATATA
Member
- Dec 5, 2022
- 21
- 34
Ni mara ya kwanza nakuja jukwaani hapa kutafuta mwenza. Litakuwa jambo jema kama nitampata mwenye kunififkiria na kuruhusu tuishi pamoja.
Kabla ya kuweka vigezo, naomba nieleze machache hapa chini:
Sijafanikiwa kuwa na kazi maalum ya kuniingizia kipato, kwa hiyo sina kazi kwa sasa japo nimesoma kwa level ya chuo kikuu.
Wasifu wangu;
1. Umri wangu ni miaka 35+.
2. Si mrefu wala mfupi sana.
3. Nina mtoto mmoja.
Mwanamke atakaenifikiria;
1. Awe mrefu wastani.
2. Akubali kuishi na mimi kwa sasa nikiwa naendelea kujitafuta ili kukaa sawa kimaisha.
3. Kabila lolote.
4. Mkristo.
Karibu Pm
Kabla ya kuweka vigezo, naomba nieleze machache hapa chini:
Sijafanikiwa kuwa na kazi maalum ya kuniingizia kipato, kwa hiyo sina kazi kwa sasa japo nimesoma kwa level ya chuo kikuu.
Wasifu wangu;
1. Umri wangu ni miaka 35+.
2. Si mrefu wala mfupi sana.
3. Nina mtoto mmoja.
Mwanamke atakaenifikiria;
1. Awe mrefu wastani.
2. Akubali kuishi na mimi kwa sasa nikiwa naendelea kujitafuta ili kukaa sawa kimaisha.
3. Kabila lolote.
4. Mkristo.
Karibu Pm