Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri

Awe serious na mahusiano

Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
Kila la kheri ila mbona unaonekana mbabe sana 😐
 
Jinsia Ke,
Rangi maji ya kunde,
Miaka 27
Nna mtoto mmoja,
Nimejiajiri huduma za Afya,
Natafuta mwenza wa maisha,
Awe maji ya kunde na mrefu ,
Umri 32-35,
Awe muajiriwa kada ya Afya au amejiajiri

Awe serious na mahusiano

Kama huna vigezo acha maneno mabaya sio lazima uonekane umecomment kila mtu anafanya anachoona sahihi
Kila la kheri
 
Haya kila la kheri..

Kada ya afya, usisahau kupita mahospitalini, maduka ya madawa uweke matangazo huko.. 😂🤣(utani tu)
 
Wanawake wanaojitambua hawataki wanaume dhaifu wa kulialia! Toka! (Go out there) jichanganye utaona manzi wa kila aina chagua, mwaga sera, oa!
Mkuu ebu nipe mbinu, huko out ni wapi? Kama mimi nikitoka basi nimeenda bar, ofisi iko home sitoki siku nzima, kanisani pia siendi!
 
Back
Top Bottom