Natafuta mwenza

Natafuta mwenza

Joined
Jun 8, 2023
Posts
24
Reaction score
37
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI

Hujataja jinsia yako mkuu tuchamkie fursa..
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
unataka mume au mke
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Unatafuta wa kuchakatana naye au wa kumchakata au wa kukuchakata?

Imebidi niulize kisanii uweze kujibu
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Jinsia yako hujaitaja, tunahofia vurumai tusije inbobo na makopakopa kumbe we ni mwamba
 
∅ 𝘠𝘰𝘶 𝘤𝘢𝘯'𝘵 𝘴𝘦𝘦 𝘵𝘩𝘪𝘴 𝘤𝘰𝘮𝘮𝘦𝘯𝘵, 𝘣𝘦𝘢𝘤𝘶𝘴𝘦 𝘺𝘰𝘶 𝘢𝘳𝘦 𝘶𝘴𝘪𝘯𝘨 𝘢 𝘊𝘩𝘪𝘯𝘦𝘴𝘦 𝘮𝘰𝘣𝘪𝘭𝘦, 😎
 
∅ 𝘠𝘰𝘶 𝘤𝘢𝘯'𝘵 𝘴𝘦𝘦 𝘵𝘩𝘪𝘴 𝘤𝘰𝘮𝘮𝘦𝘯𝘵, 𝘣𝘦𝘢𝘤𝘶𝘴𝘦 𝘺𝘰𝘶 𝘢𝘳𝘦 𝘶𝘴𝘪𝘯𝘨 𝘢 𝘊𝘩𝘪𝘯𝘦𝘴𝘦 𝘮𝘰𝘣𝘪𝘭𝘦, 😎
Chinese mobile or Chinese language 🤣🤣
 
Wadau hope mko poa,

Kama mada inavyosema, natafuta mwenza wa kuanza nae mahusiono then badae tuje kuwa wamoja.

Sifa zangu:
  1. Mrefu wa wastani, maji ya kunde.
  2. Nimeajiriwa Sekta Binafsi( Finacial Institution)
  3. Nina umri wa miaka 32.
  4. Dini ni mkristo.
  5. Kabila Mmasai.
Sifa za ninae muhiji:
  1. Awe mkristo.
  2. Awe na akili ya biashara.
  3. Umri 25-30.
  4. Kabila lolote, kama langu pia itapendeza zaidi.
NAWAKILISHA. ASANTENI
Location
 
Back
Top Bottom