Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtoa mada vipi hukunionea ERoni huko? Maana kapotea haonekani nyumbani.Habari ya wakati huu. Nimeleta mrejesho kwa kipindi ambacho nimekuwa na uhitaji wa mwenza na nikaposti humu. Lakini waliokuja pm ni wababa waume za watu na wengine wanakuja for funny tu, wakihisi hii ni sehemu ya kula kucheza na kuondoka.
Wakati Niko seriously katika Jambo hili na Nina uhitaji wa mwenza, ili kama tukija kuelewana vizuri basi tuweze kufunga pingu za maisha. Haimaanishi kuja hapa kuwa eti mtaani hawapo au kanisani hawapo, hapana. Bali Kuna sababu zilizosababisha nikaja kwenye platform hii.
Bado sijachoka, ninauhitaji wa mwenza , awe na age kuanzia 32 mpaka 40. Awe mkristo ikiwa mkatoliki itapendeza zaidi, awe mkoa wowote, akiwa na watoto sawa, ilmradi tu ajue majukumu yake kama baba wa familia. Awe na kitu kinachomuingizia kipato ili tu tusilale na njaa.
Sifa zangu ni mkristo katoliki, nimejiajiri, nna watoto 2, miaka yangu 32, mwembamba. Naishi dsm.
NOTE:.
ANAYEKUJA UHAKIKISHE SIYO MUME WA MTU NA PIA UKO SERIOUSLY UNAHITAJI SAFARI YA MAHUSIANO. OTHERWISE SIHITAJI KUKUONA PM.
KARIBU PM KAMA UNA SIFA , UNAHITAJI MTU MWENYE SIFA KAMA ZANGU, NA UNA NIA THABITI YA MAHUSIANO.
SIO KWASABABU UMEONA NI SINGLE MOTHER BASI UKAHISI NI SEHEMU YA KULA KIRAHISI NA KUONDOKA. BE CAREFUL.
Mzee chukua mke, watoto wapeleke Feza au IST wakirudi home wakina Junior unawasaidia HomeworkAtoto toa go ahead upate wifi hapa
Kumbe nimekuacha!! Mbona sina taarifa?Baada ya kuniacha nikatangaza kukimbia mbio...hufai kabisa wewe
Ushindwe na ulegeee🥺🥺Mzee chukua mke, watoto wapeleke Feza au IST wakirudi home wakina Junior unawasaidia Homework
Loooh!!😂😂😂Wewe mwenyewe ni mke wa mtu. Hao watoto uliwapata kupitia ndoto?
Basi watoto utawapeleka boarding ili uwe free 😂😂😂Ushindwe na ulegeee🥺🥺
Narudia tena ushindwe na ulegeee 🥺
Nimesitisha zoezi nimerenew kadi yangu ya Kataa ndoaBasi watoto utawapeleka boarding ili uwe free 😂😂😂