Mwenzenu nimechoka maisha ya ubachelor natafuta wa ubabu wangu wa kufa na kuzikana.
Mi ni mwanaume umri wa miaka 35 ni mkristo mtumishi wa umma.
Kwa aliye serious sichagui dini, ngozi/rangi, kimo wala dini nacho jali ni upendo wa dhati.
Kwa aliye serious tuwasiliane kwa barua pepe nyunzo@yahoo.com
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
unasubiri utafuniwe eeh!!Kila la kheri mkuu ukipata wengi tupasie na sie wenzio.
jamani mbona huwa hawajitokezi,mi naona sio mbaya km wakiwa wengi kwa huyo jamaa basi na msela Fidel80 naye apigiwe pasiunasubiri utafuniwe eeh!!
we Bebii hebu acha kumdanganya mwenzako,halafu kwani amekuambia angekuchagua kati ya wengi ambao wangtuma maombi?ungewai tu ungenipata yaani ni jana tu..................
daaah sijui ameona?ni pm....
nimedanganya nini na wewe?we bebii hebu acha kumdanganya mwenzako,halafu kwani amekuambia angekuchagua kati ya wengi ambao wangtuma maombi?
Eti ni jana tu!!!!!!!
M i mwenyewe nasubiri kaka tupeane wakikuzidi yaani usuala la kusazanimedanganya nini na wewe?
haya bro mizigo hiyo mpaka ukimbie mwenyewe,najua baadaye utaweka sifa za mhusika!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!ok ntakutafuta nshachukuwa email yako
jioni njema mydr,
nyongo mkalia ini,barafu wa moyo,honey,sweetheart