Natafuta Mwirak yeyote humu either awe wa Kike/Kiume

Ctech

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
754
Reaction score
818
Habari za saa hizi ndugu

Kama kuna mtu hapa ndani ni Mwirak naomba tuwasiliane hapa hapa kuna ishu kuhusu mila zao nataka niulize.

Tafadhali please!
 
Mi pia nadhani ni km wao nimekulia katikati yao nimesoma kwao, nimeoa kwao nawafaham a-z yao
 
Mkuu Mila na desturi zikoje
Mila yao iko vizuri, nilichopenda kwa hili kabila wazee huwafundisha watt wao haki. Hili kabila linapenda haki sana, kwenye haki mwirak mtauana. Dhuluma ni chache sana, kimila mzulumaji hulaaniwa na wazee. Nakumbuka nilipokuwa mdogo kulitokea wimbi la wezi, nikasikia wazee wakaitisha kikao cha kuwalaani. Tena walilaani mwizi yeyote afe kwa kifo cha kuharisha dam, na kweli haikupita hata mwezi vijana wanne walikufa mmoja baada mwingine kwa ugonjwa wa tumbo na kuharisha dam.... Miaka chache tu majuzi, ilikutwa maiti ya kijana moja mfanyabiashara ya ngombe. Anahisiwa alipouza dume 4, wale aliofanyanao hiyo biashara walimhadaa kwakumpeleka nje ya mnada ili wamwoneshee dume wengine ili anunue. Lakini lengo lao likageuka wakamnyonga na kuchukua fedha zake.... Wazee wa mila wakakaa na wakataka waliofanya uovu huu waropoke wenyewe. Baada ya mwezi wanaume wawili wakiwa wamelewa wakaropoka kuwa ndio waliomwua fulani na hela zake ndo hii tunainywa, wakakamatwa kilaini .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…