Natafuta Mwirak yeyote humu either awe wa Kike/Kiume

Wairaq ni wazuri sana Kwa sura ila miguu sasa mamaaa...btw kuna inshu imezoeleka eti sio "wachoyo" kwenye mambo yetu! Hili likoje?
 
Habari za saa hizi ndugu

Kama kuna mtu hapa ndani ni Mwirak naomba tuwasiliane hapa hapa kuna ishu kuhusu mila zao nataka niulize.

Tafadhali please!
una shida unatumia lugha ya amri?,kama mwirak umemaanisha hawa wa mbulu bhas sema shida yako usaidiwe... .. nimekaa sana kwao na ndipo nilipata watoto wa ujanani, nilikaa sehem mbalimbali ndani manyara wanapotokea mfano babati, katesh, hanang, dongobesh, Galapo hadi kule endakiso walipo mang'ati!,
NB:kama ni kuhusukkuoa andaa pesa ya ng'ombe kadhaa na asali debe moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…