Natafuta Mzee Mwenzangu tumalizie Ungwe(ke)

Natafuta Mzee Mwenzangu tumalizie Ungwe(ke)

20240925_214508.jpg
Umetembea Mpaka Umechoka
 
Ndoa ni ndoa tu haijalishi mmeanzia wapi kikubwa mjaliane...Kila mtu amwone mwenzie ni mtu mwenye thamani kama yeye...ajue kwamba ninachomfanyia huyu ningefanyiwa mie nisingependezwa nacho.Wasijifikirie wao tu bali wafikirie na wazazi wa mwenza hawatojisikia vyema wakigundua mtoto wao hatendewi vyema na mwenzie.

Kila lenye kheri kwako.🙏
 
Back
Top Bottom