Mechanical Engineer
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 230
- 131
Amani iwe kwenu!
Wakuu, natafuta nafasi ya Kidato cha Tano kwa shule binafsi ya Wasichana kwa tahasusi ya EGM.
Shule iwe katika moja ya mikoa ya Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro, Tabora au Mwanza.
Natanguliza Shukrani.
Wakuu, natafuta nafasi ya Kidato cha Tano kwa shule binafsi ya Wasichana kwa tahasusi ya EGM.
Shule iwe katika moja ya mikoa ya Mbeya, Iringa, Dodoma, Morogoro, Tabora au Mwanza.
Natanguliza Shukrani.