Natafuta nafasi ya kujitolea au kuajiriwa

Isayamoh

New Member
Joined
Jul 18, 2024
Posts
1
Reaction score
1
Wakuu habari natafuta nafasi ya kujitolea katika kampuni yoyote au biashara yoyote inayoweza nipatia uzoefu wa kazi natafuta uzoefu katika fani ya Kodi au uhasibu.

Nipo mbeya nina shahada ya usimamizi wa Kodi (bachelor of science in tax management

Mawasiliano: fadhirimwakaselo@gmail.com

0741954363
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…