Natafuta ndugu na jamaa tutakaoanzisha nao miradi

Natafuta ndugu na jamaa tutakaoanzisha nao miradi

goldcall

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2017
Posts
416
Reaction score
567
Sina mengi ya kuzungumza, kama kichwa kinavyojieleza, ninatafuta watu wake kwa waume, ambao, wamechoka kuchangia harusi na birthday, bali wanataka kuchangia maendeleo yao na kesho yao, binafsi ni Mtaalamu wa Project Management pia nina certification kabisa ya PMI, ni vizuri ijulikane kuwa, ni aina gani ya mtu, anaongea kuhusu nini.

Natafuta wadau wenye uchu wa maisha, ambao tutakutana na kujadili mipango na kuanzisha miradi na biashara from the scratch, kuanzisha miradi kama ifuatayo.
1. Miradi ya kukopeshana na akiba
2. Kilimo, kununuwa na kuuza nafaka
3. Kuanzisha kindergartens mikoani
4. Kuanzisha makampuni ya usafi na ulinzi na miradi mingine mingi.

Vigezo:
1. Elimu kuanzia form four na kuendelea
2. Kuanzia miaka 18, na uwe unajitambua
3. Uwe mchapa kazi kweli
4. Viwango vitatolewa na utapata faida kulingana na ulivyo wekeza
5. Hatubagui kabila wala jinsia

Manufaa:
1. Bima ya afya kwa kila mwanachama
2. Gawio la faida kila baada ya miezi sita
3. Utakuwa secured kisheria

Angalizo:
Wanasema uoga wako ndio umasikini wako, umoja ni nguvu, tunahitaji wanachama zaidi ya 200, ifikie wakati hebu tulazimishe mabadiliko, pesa tunazo Watanzania lakini zinapotea bila kufanyie kazi yenye kuleta manufaa! Mengine yatajadiliwa kwa undani tutakapozidi kuendelea kwenda mbele! kwa walio tayali watume email humu, hybridprojectmanagement@gmail.com
 
Sina mengi ya kuzungumza, kama kichwa kinavyojieleza, ninatafuta watu wake kwa waume, ambao, wamechoka kuchangia harusi na birthday, bali wanataka kuchangia maendeleo yao na kesho yao, binafsi ni Mtaalamu wa Project Management pia nina certification kabisa ya PMI, ni vizuri ijulikane kuwa, ni aina gani ya mtu, anaongea kuhusu nini.

Natafuta wadau wenye uchu wa maisha, ambao tutakutana na kujadili mipango na kuanzisha miradi na biashara from the scratch, kuanzisha miradi kama ifuatayo.
1. Miradi ya kukopeshana na akiba
2. Kilimo, kununuwa na kuuza nafaka
3. Kuanzisha kindergartens mikoani
4. Kuanzisha makampuni ya usafi na ulinzi na miradi mingine mingi.

Vigezo:
1. Elimu kuanzia form four na kuendelea
2. Kuanzia miaka 18, na uwe unajitambua
3. Uwe mchapa kazi kweli
4. Viwango vitatolewa na utapata faida kulingana na ulivyo wekeza
5. Hatubagui kabila wala jinsia

Manufaa:
1. Bima ya afya kwa kila mwanachama
2. Gawio la faida kila baada ya miezi sita
3. Utakuwa secured kisheria

Angalizo:
Wanasema uoga wako ndio umasikini wako, umoja ni nguvu, tunahitaji wanachama zaidi ya 200, ifikie wakati hebu tulazimishe mabadiliko, pesa tunazo Watanzania lakini zinapotea bila kufanyie kazi yenye kuleta manufaa! Mengine yatajadiliwa kwa undani tutakapozidi kuendelea kwenda mbele!
matapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi biashara za watu wengi kuwekeza zina mashaka, kuna mmoja ulitangazwa humu nikawekeza aisee ule mradi uliyumba jamani. namshukuru Mungu kiongozi wa mradi alikuwa mwaminifu akarudisha mitaji ya watu. all the best ndugu
 
hizi biashara za watu wengi kuwekeza zina mashaka, kuna mmoja ulitangazwa humu nikawekeza aisee ule mradi uliyumba jamani. namshukuru Mungu kiongozi wa mradi alikuwa mwaminifu akarudisha mitaji ya watu. all the best ndugu
Asante kwa ushuhuda huu, nimemueleza huyu mleta mada kuhusu huo wingi ila kaishia kuniona mpingaji na nisiyefaa, ila ukweli ndiyo huo watu 200 ni wengi sana na hawawezi nufaika na huo mradi
 
hizi biashara za watu wengi kuwekeza zina mashaka, kuna mmoja ulitangazwa humu nikawekeza aisee ule mradi uliyumba jamani. namshukuru Mungu kiongozi wa mradi alikuwa mwaminifu akarudisha mitaji ya watu. all the best ndugu
usikate tamaa, kila kitu huja kwa makusudi! pia hatuwezi fanana katika utendaji!
 
Sina mengi ya kuzungumza, kama kichwa kinavyojieleza, ninatafuta watu wake kwa waume, ambao, wamechoka kuchangia harusi na birthday, bali wanataka kuchangia maendeleo yao na kesho yao, binafsi ni Mtaalamu wa Project Management pia nina certification kabisa ya PMI, ni vizuri ijulikane kuwa, ni aina gani ya mtu, anaongea kuhusu nini.

Natafuta wadau wenye uchu wa maisha, ambao tutakutana na kujadili mipango na kuanzisha miradi na biashara from the scratch, kuanzisha miradi kama ifuatayo.
1. Miradi ya kukopeshana na akiba
2. Kilimo, kununuwa na kuuza nafaka
3. Kuanzisha kindergartens mikoani
4. Kuanzisha makampuni ya usafi na ulinzi na miradi mingine mingi.

Vigezo:
1. Elimu kuanzia form four na kuendelea
2. Kuanzia miaka 18, na uwe unajitambua
3. Uwe mchapa kazi kweli
4. Viwango vitatolewa na utapata faida kulingana na ulivyo wekeza
5. Hatubagui kabila wala jinsia

Manufaa:
1. Bima ya afya kwa kila mwanachama
2. Gawio la faida kila baada ya miezi sita
3. Utakuwa secured kisheria

Angalizo:
Wanasema uoga wako ndio umasikini wako, umoja ni nguvu, tunahitaji wanachama zaidi ya 200, ifikie wakati hebu tulazimishe mabadiliko, pesa tunazo Watanzania lakini zinapotea bila kufanyie kazi yenye kuleta manufaa! Mengine yatajadiliwa kwa undani tutakapozidi kuendelea kwenda mbele! kwa walio tayali watume email humu, hybridprojectmanagement@gmail.com
Ushauri wangu kwako
Anza kwanza na no 2 na 3.
Pia kuwe na watu wachache ambao wasizidi 5 au pungufu ya 5


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom