Natafuta ndungu wa upande wa Baba Meck Msigwa

Natafuta ndungu wa upande wa Baba Meck Msigwa

samlai

Senior Member
Joined
Feb 22, 2013
Posts
149
Reaction score
98
AMANI ya Bwana iwe nanyi.

Kama kichwa cha Habari hapo juu.natafuta ndugu wa Baba angu ambaye Alifariki kwa Ajali ya Gari miaka ya 1987. Alikuwa Akiitwa Meck Msigwa.alikuwa akifanya Biashara ya Mchele na Maharage kutoka Mbeya kwenda Dar. Mara ya mwisho alipata Ajali akiwa anasafirisha Maharage.

Ndugu zake wengi walikuwa Njombe mmoja niliambiwa alikuwa anaduka kwenye kona ya kuelekea Benk ya NBC Njombe alikuwa na yeye akiitwa Msingwa miaka hiyo ya 90.

Kwa yoyote mwenye kuwafaham ani Pm shukran.
 
Kwahiyo unahamasika kuwatafuta ndugu wa baba yako baada ya kusikia wapo vizuri kiuchumi!?,umeshakuwa pambana hautapata urithi kizembe hivyo
 
nenda nida, waombe data base zao wakutafutie majina ya meck msigwa kwa koa wa iringa,
 
Kwahiyo unahamasika kuwatafuta ndugu wa baba yako baada ya kusikia wapo vizuri kiuchumi!?,umeshakuwa pambana hautapata urithi kizembe hivyo
Asante kaka kwa majibu yako. Mungu akubariki.
 
Kitakachofanya waogope ni vile waliishakula mali za mzee.

Ongeza nguvu utawapata ndugu zake.
 
Mbona hata mbeya wapo kina msigwa wengi sana halafu chimbuko lao ni njombe,makambako
 
AMANI ya Bwana iwe nanyi.

Kama kichwa cha Habari hapo juu.natafuta ndugu wa Baba angu ambaye Alifariki kwa Ajali ya Gari miaka ya 1987 .alikuwa Akiitwa Meck Msigwa...

Simlai rekebisha kidogo andiko lako

".....natafuta ndugu wa Baba angu ambaye Alifariki kwa Ajali ya Gari miaka ya 1987 .alikuwa Akiitwa Meck Msigwa............ alikuwa anaduka kwenye kona ya kuelekea Benk ya NBC Njombe alikuwa na yeye akiitwa Msingwa miaka hiyo ya 90."

Kila la heri kwenye kuwapata ndugu zako
 
Back
Top Bottom