Yaani RAUM iende kasulu,, ihiiiiii[emoji12]Kapige Kasulu to Buhigwe/ Kasulu to Kigoma mjini.[emoji124][emoji124]
Huu ndiyo ushauri boraUtaiharibu gari mapema sana na hutapata faida, nikushauri utafute taratibu za kujiunga na Uber au Bolt kwa Dar es Salaam.
Unaweza kupata walau faida na gari likaendelea kuwa zima.
Unapatikana wapi?Ndugu zangu niko na gari aina ya Raumu nataka nitumie walau nijipatie riziki naomba mwenye kujua sehemu ambayo ina njia nzuri alafu kuna changamoto ya usafiri anielekeze humu nikafanye hapo kazi gari yangu ina uwezo wa kubeba abiria kuanzia 5 Hadi nane hivi hata kama ni rough road walau pawe pazuri ukitaja njia kumbuka kuweka na km kumbuka stafuti dereva naendesha mwenyewe
Ee mkuu ikachuane na michomoko๐Yaani RAUM iende kasulu,, ihiiiiii[emoji12]
๐๐ฎ๐ต๐ฎ๐ต๐ฎ๐ต๐ฎ, ๐ฎ๐ ๐๐ถ๐ผ, ๐ธ๐ฎ๐๐๐ฟ๐ ๐๐ ๐ป๐๐ฎ๐ธ๐ถ๐๐ผ๐ป๐๐ผ, ๐ฎ๐ ๐ธ๐ฎ๐๐๐น๐ ๐๐ ๐บ๐๐๐ฎ๐บ๐ฎKapige Kasulu to Buhigwe/ Kasulu to Kigoma mjini.๐ถ๐ถ
sasa kule sikuna coasterMoshi to Arusha ni rami tupu
Ee mkuu afike mpaka Mugombe-Makere.๐๐ฎ๐ต๐ฎ๐ต๐ฎ๐ต๐ฎ, ๐ฎ๐ ๐๐ถ๐ผ, ๐ธ๐ฎ๐๐๐ฟ๐ ๐๐ ๐ป๐๐ฎ๐ธ๐ถ๐๐ผ๐ป๐๐ผ, ๐ฎ๐ ๐ธ๐ฎ๐๐๐น๐ ๐๐ ๐บ๐๐๐ฎ๐บ๐ฎ