Natafuta nyumba ndogo

Nani kakuambia nyumba ndogo hazina maudhi?
1. Hapokei sm na anajua huwezi kuja uko kwa mkeo (paniki zinaanza)
2. Jioni unataka kuondoka anakuaga ataenda club na shostii zake (Presha juu)
3. Jumamosi anakuaga ataenda harusi ila hataweza kurudi atalala huko huko, sa tano na nusu usiku sim yake inazima charge na charger aliacha home (unazimia kabisa).
 
Njoo kwangu nikuongezee stress.
Utamuona mkeo alivyo lulu.
 
SORRY. Natumia simu. Pm hazifunguki. Cjui kwanini. Baadaye kdg nitaaccess computer I'll reply to all PM.
 
Wew ni limbukeni tu..Isitoshe wew ndo una matatzo halaf unamhukumu mwanamke wa watu..Wew tafuta tu hyo nyumba ndogo but Kwa bi mkubwa lazma urud tu..Uwe hai au maiti..Utarudi tu..Tulia solve matatzo na mkeo.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kuna siku fulani watu walionywa hapa MMU kuhusu njemba yenye initial "M" kwenye ID yake, sasa sijui kama wanawake wa hapa RAM zenu vichwani bado zina hiyo kumbukumbu!!!
 
Binafsi nawakubali sana Mzee J. ZUMA na Mfalme Mswati. Ni bora kuwa joto au baridi, vuguvugu ni unafiki.
 
Natumaini wazima wote wana Jf. Najitokeza kutafuta nyumba ndogo itakayonifariji. Maudhi ya ndoa yamenifika shingoni. Awe na miaka 30 had ì0 hv. Aliye tayarh Pm plse
Mkuu kabla ya kumaliza matatizo ya ndoa unatafuta mengine..!! nyumba ndogo ikijua una matatizo itatumia mwanya huo kujiongeza kimo na kua kubwa..!!
 
Kubwa imekushinda ndogo c itakuwa majanga? Halafu huwa hazitafutwi hizo yakhe!
 
Natumaini wazima wote wana Jf. Najitokeza kutafuta nyumba ndogo itakayonifariji. Maudhi ya ndoa yamenifika shingoni. Awe na miaka 30 had ì0 hv. Aliye tayarh Pm plse

Angalia ucje ukapata pm la mse geju
 
Kuna siku fulani watu walionywa hapa MMU kuhusu njemba yenye initial "M" kwenye ID yake, sasa sijui kama wanawake wa hapa RAM zenu vichwani bado zina hiyo kumbukumbu!!!

Lakini Mimi ckuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…