Mkuu kabla ya kumaliza matatizo ya ndoa unatafuta mengine..!! nyumba ndogo ikijua una matatizo itatumia mwanya huo kujiongeza kimo na kua kubwa..!!Natumaini wazima wote wana Jf. Najitokeza kutafuta nyumba ndogo itakayonifariji. Maudhi ya ndoa yamenifika shingoni. Awe na miaka 30 had ì0 hv. Aliye tayarh Pm plse
Natumaini wazima wote wana Jf. Najitokeza kutafuta nyumba ndogo itakayonifariji. Maudhi ya ndoa yamenifika shingoni. Awe na miaka 30 had ì0 hv. Aliye tayarh Pm plse
Kuna siku fulani watu walionywa hapa MMU kuhusu njemba yenye initial "M" kwenye ID yake, sasa sijui kama wanawake wa hapa RAM zenu vichwani bado zina hiyo kumbukumbu!!!