Natafuta nyumba nzuri ya Tsh. Milioni 20 Arusha

Natafuta nyumba nzuri ya Tsh. Milioni 20 Arusha

Ujenzi usikie tu kuna watu huwa wanajifanya wanapesa kisa anamilik kagar ka 15m ,akiingia kwenye ujenzi miezi mitatu chali ndinga inauzwa na hyo pesa bado boma linadai
Balaaa,unaweka pesa inazamaa jumla.....unaweza data.
 
Cha kukushauri nunua pagala kwa bei hiyo ulimalizie taratibu lkn sio kwa nyumba alafu arusha!!!. Kiwanja kizur tu punguf ya M5 kupata mtihani
 
Kuna watu wana bahati zao, anaweza pata na mkashangaa , msijiwekee mipaka.
 
ungekuwa dar 20m unapata nyumba na unahamia ila kwa arusha unaweza kuishia kupata kiwanja
Dar ipi?! Kwa maelezo hayo ni kama unataka kusema bei ya viwanja Arusha ni kubwa kuliko Dar es salaam wakati 20M hata kiwanja huwezi kupata.
 
Inamaana arusha viwanha bei iko juu sana kuliko dar??
 
Dar ipi?! Kwa maelezo hayo ni kama unataka kusema bei ya viwanja Arusha ni kubwa kuliko Dar es salaam wakati 20M hata kiwanja huwezi kupata.
Chanika kiwanja 3m unapata, ila arusha kule mushono mbele ya mwakasege kuvukareli hata m7 unaweza kukosa
 
Chanika kiwanja 3m unapata, ila arusha kule mushono mbele ya mwakasege kuvukareli hata m7 unaweza kukosa
Ah! Kumbe Chanika, ambako ukiingia kichwa kichwa utaambiwa ni Chanika kumbe ni Kisarawe! Kama ni viwanja vya aina hiyo Arusha unaweza kuvipata hata kwa 1M. Ni kichekesho kujidanganya eti Arusha viwanja ni ghali kuliko Dar es salaam wakati kasi ya ujenzi kwa Dar ni kubwa maradufu ya Arusha, na demand ya viwanja kwa Dar ni kubwa kuliko Arusha! Mbaya zaidi, wakati Arusha bado kuna maeneo kibao yanayoweza kupimwa viwanja tena wala sio mbali sana na city center, kwa Dar es salaam hayo "maeneo kibao" HAYAPO unless iwe ni more than 30km from the city center!
 
Ah! Kumbe Chanika, ambako ukiingia kichwa kichwa utaambiwa ni Chanika kumbe ni Kisarawe! Kama ni viwanja vya aina hiyo Arusha unaweza kuvipata hata kwa 1M. Ni kichekesho kujidanganya eti Arusha viwanja ni ghali kuliko Dar es salaam wakati kasi ya ujenzi kwa Dar ni kubwa maradufu ya Arusha, na demand ya viwanja kwa Dar ni kubwa kuliko Arusha! Mbaya zaidi, wakati Arusha bado kuna maeneo kibao yanayoweza kupimwa viwanja tena wala sio mbali sana na city center, kwa Dar es salaam hayo "maeneo kibao" HAYAPO unless iwe ni more than 30km from the city center!
ni maeneo gan Arusha viwanja bei rahisi nina nyumba arusha na nina nyumba dar, ukiona unaambiwa chanika ni kisarawe basi wamekuona lofa maana hata kichaa ni rahis kujua!
 
ni maeneo gan Arusha viwanja bei rahisi nina nyumba arusha na nina nyumba dar,
You're missing the point! Dalali anaishi chumba kimoja cha kupanga tena Chanika lakini anafahamu bei ya viwanja vya Masaki kuliko wamiliki wa nyumba wa Masaki wenyewe!! Nimekupa maeleo ya kukutaka utumie common sense! Yaani Arusha yenye maeneo mengi zaidi kuliko Dar, lakini population yake ikiwa less than 25% ya population ya Dar halafu bado viwanja vyake viwe expensive kuliko Dar?! Na tungetumia hoja ya kutaja maeneo, halafu nikasema mahali kama Mbweni JKT Block 8 ukitaka 2000 square meter basi angalau uwe na 500M, au bila 1.5B Masaki huwezi kupata hata 2000sqm, mjadala wenyewe si ingebidi uishe hapo hapo?!
 
Back
Top Bottom