House4Sale Natafuta nyumba ya kununua DSM

House4Sale Natafuta nyumba ya kununua DSM

Dah... Jipange ununue hizi za nhc... Kama una income ya kueleweka nenda kafanye mchakato nao
 
chanika bonyokwa pugu gomz mwisho zinapatikana tafuta wenyej madali wa mjini kwa sasa pasua kichwa
 
Kama nakuona vile jinsi madalali wanavyo Ku PM
Ukiingia vibaya umeliwa pesa yoote,maana kama wanadawa vile
Mkuu nilizaliwa vijijini Kisha nikakulia kijijini, niliingia Mjini kwa gari Moshi, nikashangaa mataa kwa miezi kadhaa, lakini baada ya kitambo kidogo Tu nikawa zaidi ya alozaliwa Mjini, yaani kama Mzee WA butiama alivyoingia Mjini na kuwa kichwa Cha waliozaliwa DSM miaka hiyo,

Kuibiwa kupo lakini siibiwi na Madalali WA DSM asee, labda WA Nigeria wenye Ph.D. Za darasani na wenye ubunifu uloenda shule, sio Hawa wanatuma SMS za uganga WA jadi na kupunga majini,
 
Mkuu nilizaliwa vijijini Kisha nikakulia kijijini, niliingia Mjini kwa gari Moshi, nikashangaa mataa kwa miezi kadhaa, lakini baada ya kitambo kidogo Tu nikawa zaidi ya alozaliwa Mjini, yaani kama Mzee WA butiama alivyoingia Mjini na kuwa kichwa Cha waliozaliwa DSM miaka hiyo,

Kuibiwa kupo lakini siibiwi na Madalali WA DSM asee, labda WA Nigeria wenye Ph.D. Za darasani na wenye ubunifu uloenda shule, sio Hawa wanatuma SMS za uganga WA jadi na kupunga majini,


Mmmmmmmmmh
 
Ni vyema kama umezingatia. Kama upo dar viwanja vipo vya bei chee mimi juzi nimeuziwa 3. 5mil na kumejengeka
Kiwanja umenunua sehemu gani hicho je kimepimwa?
Maana hiyo Mln 30....asipokuwa makini Nyumba itaishia kiunoni....

OVA
 
Njoo kitunda shule uangalie nyumba inauzwa na mpya,itakufaa sana,nipigie 0685 616373.ukiridhika biashara ifanyike,usiporidhika basi,hakuna dalali
 
Acha kabisa kununua nyumba, jenga, acha uvivu.. mjini utalia nyumba za kununua.
 
Back
Top Bottom