Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 377
Wakuu natafuta nyumba ya kununua DSM ofa Yangu isizidi 30mil. 0754459572
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pia unaweza ukaja kuiona 0657623266 uje uione na hadhi yakeWakuu natafuta nyumba ya kununua DSM ofa Yangu isizidi 30mil. 0754459572
Porini sana huko nani akakae??chanika bonyokwa pugu gomz mwisho zinapatikana tafuta wenyej madali wa mjini kwa sasa pasua kichwa
Nunua kiwanja ujenge . nyumba za kununua si salama sana
Mkuu nilizaliwa vijijini Kisha nikakulia kijijini, niliingia Mjini kwa gari Moshi, nikashangaa mataa kwa miezi kadhaa, lakini baada ya kitambo kidogo Tu nikawa zaidi ya alozaliwa Mjini, yaani kama Mzee WA butiama alivyoingia Mjini na kuwa kichwa Cha waliozaliwa DSM miaka hiyo,Kama nakuona vile jinsi madalali wanavyo Ku PM
Ukiingia vibaya umeliwa pesa yoote,maana kama wanadawa vile
Ni vyema kama umezingatia. Kama upo dar viwanja vipo vya bei chee mimi juzi nimeuziwa 3. 5mil na kumejengekaNime
Nimezingatia ndugu.
Kuna mkuu hapa jamii forum atakusaidia kufanya tathimini ya gharama za ujenziNime
Nimezingatia ndugu.
Mkuu nilizaliwa vijijini Kisha nikakulia kijijini, niliingia Mjini kwa gari Moshi, nikashangaa mataa kwa miezi kadhaa, lakini baada ya kitambo kidogo Tu nikawa zaidi ya alozaliwa Mjini, yaani kama Mzee WA butiama alivyoingia Mjini na kuwa kichwa Cha waliozaliwa DSM miaka hiyo,
Kuibiwa kupo lakini siibiwi na Madalali WA DSM asee, labda WA Nigeria wenye Ph.D. Za darasani na wenye ubunifu uloenda shule, sio Hawa wanatuma SMS za uganga WA jadi na kupunga majini,
Kiwanja umenunua sehemu gani hicho je kimepimwa?Ni vyema kama umezingatia. Kama upo dar viwanja vipo vya bei chee mimi juzi nimeuziwa 3. 5mil na kumejengeka
Namba ya simu hiyo piga nduguIpo ubungo nipm