Nzotu
Member
- Jan 22, 2018
- 41
- 55
Habari wana jamii
Nahitaji nyumba ya kupanga! Iwe ya kuanzia vyumba viwili kimoja kikiwa master itapendeza! Iwe na uzio na iwe ya kupendeza, maji ni muhimu!
Maeneo ni Kimara kuja mpaka ubungo, au Mbezi tangi bovi mpaka makonde!
Offer ni 200,000
Kama kuna mtu anayo anipm
Nahitaji nyumba ya kupanga! Iwe ya kuanzia vyumba viwili kimoja kikiwa master itapendeza! Iwe na uzio na iwe ya kupendeza, maji ni muhimu!
Maeneo ni Kimara kuja mpaka ubungo, au Mbezi tangi bovi mpaka makonde!
Offer ni 200,000
Kama kuna mtu anayo anipm