Iwe na vyumba vitatu vya kulala, jiko, sebule, dinning room, choo, bafu, umeme wa kujitegemea, maji na usalama pia.
Sihitaji dalali, na ninahitaji mkataba wa miezi mitatu (3) kwanza.
Nyumba isiwe mbali sana na main roads/kituo cha daladala
Tuwasiliane: +255676095799