NATAFUTA Nyumba ya KUPANGA

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
iwe na vyumba 3 au 2 na bei ni laki kwa mwezi.
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na mwenyenyumba kagoma kufanya marekebisho ya kuzuia maji kutuama.

kama unaamini unayo taarifa nitumie PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…