NATAFUTA Nyumba ya KUPANGA

NATAFUTA Nyumba ya KUPANGA

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
iwe na vyumba 3 au 2 na bei ni laki kwa mwezi.
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na mwenyenyumba kagoma kufanya marekebisho ya kuzuia maji kutuama.

kama unaamini unayo taarifa nitumie PM
 
Back
Top Bottom