Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
iwe na vyumba 3 au 2 na bei ni laki kwa mwezi.
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na mwenyenyumba kagoma kufanya marekebisho ya kuzuia maji kutuama.
kama unaamini unayo taarifa nitumie PM
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na mwenyenyumba kagoma kufanya marekebisho ya kuzuia maji kutuama.
kama unaamini unayo taarifa nitumie PM