Pota
JF-Expert Member
- Apr 8, 2011
- 2,042
- 776
Mshirikina utamjua tu....Mkuu umeagizwa paka rangi gani?na jinsia gani? Maana kila mganga na masharti yake
Muda wote anawaza mambo hayo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshirikina utamjua tu....Mkuu umeagizwa paka rangi gani?na jinsia gani? Maana kila mganga na masharti yake
Panya wana akili sana, hiyo gundi itakamata vitoto tu!Nunua gundi ya panya wanauza wale wanauzaga simu za panya mtaani
aiseeeTafuta paka wa mkoani. Hawa wa Dar hawanaga muda wa kukimbizana na panya, wao kutwa kwenye kideo kama kaka zao tu.
Panya daaslaaam? Basi msela wangu utakuwa unaishi jalalani! Kwa nini usirudi mikoani mkuu?Kama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Dawa ya panya ni kuziba wanapoingilia.Kama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Paka wa dar sio kabisa hawali panya wao kazi kuzunguka kwenye ukuta na mapaa ya nyumba hata chini wanaogopa kupitaKama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.
Hivi mkuu mtu yupo tayari kufata paka popote alipo,,hata kama mkoa wa pwani...unadhani ni jambo la kawaida?sasa mshirikina ni yule anayesaka paka ? tena kwa gharama yeyote,,,,au mshirikina ni yule anayehoji msaka paka?Mshirikina utamjua tu....
Muda wote anawaza mambo hayo tu
Bei ya mitetea kumi hapoNinao paka wazuri sana(mice eaters) wadogo wa miezi 6 nitakuuzia 100,000/= delivery charges utalipa mwenyewe baada ya kufikishiwa mzigo wako hapo unapoishi. Kama upo tayari ni PM
Nenda kajichagulie hapo baaNakushukuru Sana kwa ushauri na maelekezo yako. Wengi wamekejeli lakini nahitaji paka kwa dhati kabisa.
Tafuta dawa inaitwa E40 ya mimea. Ina harfu kali sana puliza ndani wanapoingilia au stoo wanakoishi. Pia wekamaeneo yote wanakoishi kama darini nk WATAKIMBIZWA NA HIYO HARUFU.pia mbu na mende watakimbia. Yaani wk mwenye chupa ndogo ndi ufunike kiasi itoe harufu sehem mbambali l. Jaribu ila tahadhari ni sumu kali na harufu kaliKama Uzi unavyosema, natafuta paka kwa udi na uvumba. Yeyote mwenye paka mdogo ambaye ameacha kunyonya tuwasiliane kuanzia jukwaani hapa. Hata kwa Kibaha, Dar, hadi Mkuranga, na Kisarawe pia Bagamoyo maeneo yote hayo niko tayari kumfuata.
Karibuni.
Naishi Dar es Salaam.