natafuta pango kwa ajili ya madarasa dar

MENISON

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
726
Reaction score
621
jamani bado nahitaji pango au apartment ya kupangisha kwa ajili ya madarasa ,nina mpango wa kufungua education centre.Kama ntapata ya madarasa mawili au matatu siyo mbaya,au hata kama ni nyumba niigeuze ,iwe maeneo ya ubungo,mwenge,kariakoo au posta au kijitonyama ,
 
namba yangu 0716 282670
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…