Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wadau mimi napenda kufuga hapa kwangu nina Mbwa,Paka, Ng'ombe wa Maziwa na Kuku pia.
Mbwa nmeona kazi yake maana kuna siku kibaka alijichanganya kuruka ukuta kabla sijaweka Fensi ya Umeme... Tulimkuta hoi. Hawa mbwa nikawapenda zaidi.
Kuku tunapata Mayai na Nyama pia. Ng'ombe tunapata maziwa tunashukuru kuna siku tutapata hata nyama. Ila nawaza ingewezekana hata kwa ng'ombe unakata nyama kidogo unakula inaota nyingine ingekuwa bomba sana kuliko kumuua wote.
SHIDA IPO HAPA. Humu ndani hamna panya. So namwona paka ame relax kinyama.... Amekuwa bonge kweli. Hana anachofanya....analala 24x7 yaani huwa ananitia hasira sana. Anakula tu msosi home na kulala anabadili tu sofa na sometimes anaenda ota jua nje.
Ukimtizama mashavu kama mimba ya panya. Mpaka nimepata wazo la kutafuta panya hata wawili niwalete hapa home ili sasa huyu paka ajifunze kudeal nao maana mapaka kama hawa huwa wanakuwa na Ujinga fulani. Huchelewi kumkuta anakula msosi wanashare na panya kwenye sahani moja. Au unaweza kuta kalala na panya kamlalia kifuani.wanakoroma tu.
Ndio nataka nifahamu hili jambo nisije nikawa nafuga paka wa maonesho tu. Nitapata wapi panya? Hilo ndio linalonisumbua.
Mbwa nmeona kazi yake maana kuna siku kibaka alijichanganya kuruka ukuta kabla sijaweka Fensi ya Umeme... Tulimkuta hoi. Hawa mbwa nikawapenda zaidi.
Kuku tunapata Mayai na Nyama pia. Ng'ombe tunapata maziwa tunashukuru kuna siku tutapata hata nyama. Ila nawaza ingewezekana hata kwa ng'ombe unakata nyama kidogo unakula inaota nyingine ingekuwa bomba sana kuliko kumuua wote.
SHIDA IPO HAPA. Humu ndani hamna panya. So namwona paka ame relax kinyama.... Amekuwa bonge kweli. Hana anachofanya....analala 24x7 yaani huwa ananitia hasira sana. Anakula tu msosi home na kulala anabadili tu sofa na sometimes anaenda ota jua nje.
Ukimtizama mashavu kama mimba ya panya. Mpaka nimepata wazo la kutafuta panya hata wawili niwalete hapa home ili sasa huyu paka ajifunze kudeal nao maana mapaka kama hawa huwa wanakuwa na Ujinga fulani. Huchelewi kumkuta anakula msosi wanashare na panya kwenye sahani moja. Au unaweza kuta kalala na panya kamlalia kifuani.wanakoroma tu.
Ndio nataka nifahamu hili jambo nisije nikawa nafuga paka wa maonesho tu. Nitapata wapi panya? Hilo ndio linalonisumbua.