Sasa Kama ana hekaheka za kumkosesha kulala unataka afanyaje? ..anyway karibu kwetu tuna ghala za panya Aina zote .kwa Bei tofauti be..tuna wajawazito Hawa kidogo Bei ni kubwa kuliko wengine ingawa hawazidi kwa Bei Kama panya buku..Kuna panya wa kike vibinti hawa bei haiko tofauti Sana na wajawazito.
Kuna panya dume hawa nauza kwa mafungu.
Mwisho kabisa Kuna panya buku hawa bei yao iko juu zaidi kutokana na uhitaji mkubwa kama kitoweo.
Dar nafanya delivery mkoani nakutumia..karibu Sana boss.