Natafuta part time job za jioni kwa mkoa wa Dar es Salaam

Natafuta part time job za jioni kwa mkoa wa Dar es Salaam

Usichoke, utoe kitu chochote kwa walinzi wa getini au vibarua konki kwa ajili ya kazi. Yaani kutoa sio lazima kingi hii dunia imebadilika sana mdogo wangu watu hawamna utu na shida zako hasa sehemu za kupata chochote.

Sawa mkuu, asante sana.
 
Back
Top Bottom