Blueflower
New Member
- Jun 8, 2024
- 1
- 3
Habari Wana Jamii Forums.
Mimi ni Binti nipo office flan posta ni secretary wa pale mda mwingi nashinda nimekaa tu mpaka mteja atakapofika
Nilikuwa natafuta kazi ya ziada nikiwa pale nimekaa kama Kuna mtu anakazi zinamlemea tuongee kama ni kutype au kufanya chochote ambacho naweza kufanya Kwa mazingira Yale
Asanteni....
Mimi ni Binti nipo office flan posta ni secretary wa pale mda mwingi nashinda nimekaa tu mpaka mteja atakapofika
Nilikuwa natafuta kazi ya ziada nikiwa pale nimekaa kama Kuna mtu anakazi zinamlemea tuongee kama ni kutype au kufanya chochote ambacho naweza kufanya Kwa mazingira Yale
Asanteni....