mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Upo jirani[emoji848]Mzeya any remnants nitupie mie maana nami nahitaji wife mwenye hiv
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo jirani[emoji848]Mzeya any remnants nitupie mie maana nami nahitaji wife mwenye hiv
Ni kweli bro....nikujikubali tuu unaishi bila wasiwasiHivi unakuwaga siriaz kweli, ni zaidi ya mara 50 naona unajipambanua umepigwa shoti.
Huwa ni kweli au changamsha jukwaa?
Ndio kachangamaa sasa hapa na atapata tuHIV+ mtaani zipo nyingi tu , changamana na watu upewe connection
😂😂😂 Ningeshangaa!!Ah nmekosea kutag, mm nakutaka sana tangu kitambo 😎
KUna maisha baada ya HIV...usitie mkono gizani kisa tu una HIV,una umri mkubwa sana wa kuishi mkuu usijiweke rehani ukatafuta mke kwa kigezo cha HIV.Natafuta partner (Mwanamke).
Vigezo:
Mwembamba na White.
Mkristo au Muislamu.
Elimu yoyote.
Awe anafanya kazi.
Umri 23-27
Kabila lolote.
Asiwe na mtoto.
Upande wangu:
Elimu/ degree
Kazi/ nimeajiriwa
Umri/29
Naishi/ Mwanza
Dini/ mkristo
Maelezo zaidi njoo PM
Utapata rafikiNatafuta partner (Mwanamke).
Vigezo:
Mwembamba na White.
Mkristo au Muislamu.
Elimu yoyote.
Awe anafanya kazi.
Umri 23-27
Kabila lolote.
Asiwe na mtoto.
Upande wangu:
Elimu/ degree
Kazi/ nimeajiriwa
Umri/29
Naishi/ Mwanza
Dini/ mkristo
Maelezo zaidi njoo PM
Hapo kwanza wakikutana ni no story kila mtu na simu yake, hahahahSometimes hizi mada huwa naziona kama ni za kutunga kuchangamsha genge,kwa sababu sehemu za kupatana watu wa aina hii zipo kwanini wahusika wasionane huko?
Mfano,kama mtu ana hiyo hali na huudhuria kuchukua ARVs kwenye vituo vya afya pale si panakuwa na wenzake jinsia tofauti?nadhani nao pia wakiwa na hamu ya kupata wenza sasa kwanini ktk hao hao asimtafute mwenza!tena ndiyo vizuri zaidi maana atachagua kitu anachokitaka tofauti na kwenye mitandao kama hivi hujui atakuja anaefanana vipi.