Natafuta partner kwenye kilimo

Kilimo sio kibaya shida Asilimia 90 tunafuata mikunbo ndo shida inapo kuja hapo
Uko sahihi. Mtu anaanza kulima kichwani kajaza faida tupu. Kilimo kina changamoto. Mimi nikishawahi pigwa msimu wa pili wa kulima ila sijaacha maana faida naiona. Tatizo jingine watu wanalima mashamba ya mbali wanaachia wanakijiji usimamizi. Weka mtu wako umlipe na uhudhurie shamba. Kilimo sio cha kufanya kwa remote
 
Kwa kifupi kilimo inatakiwa na wewe uwe mkulima. Siyo unaacha watu wakufanyie kazi. Pengine siyo kilimo tu. Bongo biashara ya kuchia watu bila usimamazi madhubuti ni lazima utalizwa. Jamaa yangu aliambiwa kilimo cha matikikiti kinalipa sana. Akatoa milioni yake moja akampe aliyemwambia. Huyoo akazama sehemu za Tanga huko. Aliyetowa fedha yuko Dar na mtumishi kaenda kufanikisha. Baada ya muda akamwambia anataka kwenda kuona maendeleao. Alipoenda akaonyeshwa shamba, na kweli lilikuwa limestawi sana. Baada ya siku kadhaa tajiri akamwona mtumishi asubuhi asubuhi. Akamwambia kuwa ameleta mzigo na uko kwa dalali akishauza watafanya mahesabu. Hakuonekana tena na alipopigiwa akadai mengi yalioza kwa kukosa soko na fedha kidogo zilizopatikana ameamua kwenda kulima tena. Tajiri akaja juu. Baadae akachunguza na kugundua hata shamba aliloonyeshwa lilikuwa la mtu na siyo la yule mtumishi wake.
 
nitafute kwa no 0745535772 au 0624351859! We can work together
 
Hawazi kuwa kuna changamoto pia[emoji23]
 
tunaweza kuonana tukikubaliana tunafanya biashara nipo tayari
 
nashauri kuwa mkulima kama una capital ya uhakika sio ya mikopo inatesa
Maybe its negative to you its just an opinion.
wapo wakulima wapo wauzaji wapo walaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…