Harini wadau wa JF,
Nina shamba ekari 50 zenye rutuba maeneo ya Jaribu Rufiji, mimi sina muda wa kufuatatilia/ au kuendeleza, natafuta mtu mwenye nia, mtaji wangu uwe ni shamba, yeye aendeleze, alafu tutakubaliana namna ya kugawana mapato.
Ardhi hiyo inafaa kwa mazao yafuatayo;
1. Mihogo
2. Mananasi
3. Ufuta
4. Matunda kama vile mapapai, machungwa, na aina zote za mboga mboga.
Unaweza kufanya kilimo cha drip irrigation, ukichima maji yapo mengi tu.
Kwa yoyote anayependa hii fursa anakaribishwa.
Tuma private message
Nina shamba ekari 50 zenye rutuba maeneo ya Jaribu Rufiji, mimi sina muda wa kufuatatilia/ au kuendeleza, natafuta mtu mwenye nia, mtaji wangu uwe ni shamba, yeye aendeleze, alafu tutakubaliana namna ya kugawana mapato.
Ardhi hiyo inafaa kwa mazao yafuatayo;
1. Mihogo
2. Mananasi
3. Ufuta
4. Matunda kama vile mapapai, machungwa, na aina zote za mboga mboga.
Unaweza kufanya kilimo cha drip irrigation, ukichima maji yapo mengi tu.
Kwa yoyote anayependa hii fursa anakaribishwa.
Tuma private message