KIDESELA
Senior Member
- Sep 26, 2011
- 149
- 91
Kama ilivyo heading, miaka ya nyuma kidogo nilibuni biashara hasa nia ilikuwa kuwa na kiwanda kidogo cha sembe au kuweka machine za kuchana mbao, nilifanikiwa kujenga jengo nikafanya wiring na kuvuta umeme 3phashe yote nilifanikiwa, ila mambo hayakutimia kutokana na mambo kwenda sio,
Sasa nahitaji mtu mwenye mtaji ili tufanye ushirikiano kwenye huu uwekezaji, Eneo ni Kibaha mawasiliano ni +255683819170
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nahitaji mtu mwenye mtaji ili tufanye ushirikiano kwenye huu uwekezaji, Eneo ni Kibaha mawasiliano ni +255683819170
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app