Natafuta Partner wa Biashara ya Petro Station

HABARI, SAMAHANI MBONA PM YAKO INAGOMA? NAOMBA UNIPM TUZUNGUMZE ABOUT CERTIFICATES ZA LAZIMA KUWA NAZO ILI UPEWE LICENCE YA KUUZA MAFUTA
Mkuu kwa faida ya wengine ambao hapo baadae watahitaji kufanya hiyo biashara na kwa kuwa ni legal business ungetoa Elimu hapa jukwaani tuu...au wewe unaonaje vibali vinavyotakiwa ni hivi na vile na vinapatikana kwa kufuata utaratibu huu...
 
Aysee!
 
Mkuu nikufuate PM kunielekeza jinsi ya kupata Certificate na license ? upo serious kweli ...
 
Mkuu nilikuja kukuelewa baadae sana upo sawa kabisa, poa.
 
Npgie tuongee 0784616544
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…