R Mbuna
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 2,283
- 5,371
Naomba kufahamu vitu vifuatavyo:-
1. Una bond ya kiasi kwa ajili ya transit goods.
2. Una container deposit waiver kwenye shipping line ngapi?
Naweza kufanya kazi na wewe kama nitaridhika na hayo majibu.
NB: nitakulipa agency fee tu iwapo tutakubaliana .
Nina wateja wa
LUSAKA
MAZABUKA
NDOLA
CYANGUGU/KAMEMBE
Thanks
1. Una bond ya kiasi kwa ajili ya transit goods.
2. Una container deposit waiver kwenye shipping line ngapi?
Naweza kufanya kazi na wewe kama nitaridhika na hayo majibu.
NB: nitakulipa agency fee tu iwapo tutakubaliana .
Nina wateja wa
LUSAKA
MAZABUKA
NDOLA
CYANGUGU/KAMEMBE
Thanks