😁Kazi bwana, ni devera Mzuri ,vyeti anavyoAnataka lijishangazi au anataka kazi?
Nakuombea upate mzeemwanangu dronedrake umehadimika sana, nipo nafukuzia fursa hapa. Nikipata chuma ntakuwa nailaza Lumo pale kwa Kimario 🤣 🤣 🤣
Ndio mm niliyekupigia wa Katavi,pia baadae nitakuchek tena tuongee biashara dada yangu,Apige simu tuongee
Amin Inshaa Allah.Nakuombea upate m
Huyo mdogo wakp ndio wewe bila shaka (jokes)Mkuu, mdogo wangu ana vyeti vya veta na pia leseni, tatizo nimemtoa huko Dar wiki ikiyopita, kwa sasa tupo Katavi kama nafasi itaendelea kuwepo mpaka Ijumaa nitamrudisha Dar aje kufanya usaili
🤣🤣🤣Huyo mdogo wakp ndio wewe bila shaka (jokes)
Huyo mdogo wakp ndio wewe bila shaka (jokes)
Nipo hapa 😊😊Je, wewe ni dereva na umekaa tu kijiweni?
Haya njoo sasa tuhojiane, nafasi hii ni kwa ajili yako.
Nipigie simu haraka.
0745540410
JamiiForums ni jumba la connection na kuboresha maisha.
HahahahahahaAnataka lijishangazi au anataka kazi?