Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
WAnawake pia tunatakiwa? Au mens only
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAnawake pia tunatakiwa? Au mens only
😅😅 hajatangaza jinsia mkuu..WAnawake pia tunatakiwa? Au mens only
Mimi sijakaa tu kijiweni lakini nina sifa zote za udereva.Je, wewe ni dereva na umekaa tu kijiweni?
Haya njoo sasa tuhojiane, nafasi hii ni kwa ajili yako.
Nipigie simu haraka.
0745540410
JamiiForums ni jumba la connection na kuboresha maisha.
Tushapotezana shem, mambo?WAnawake pia tunatakiwa? Au mens only
Tapeli huyu jamaa. Yaani anakupa mchongo halafu anakuambia utakuwa unamuendesha bosi nikatie elfu 20 nikuunge ukitoa namba haipatikani jamaa atakuwa kapiga hela za faster na kutupa line hahahahaJe, wewe ni dereva na umekaa tu kijiweni?
Haya njoo sasa tuhojiane, nafasi hii ni kwa ajili yako.
Nipigie simu haraka.
0745540410
JamiiForums ni jumba la connection na kuboresha maisha.
Na wewe umepigwa mkuu?? PoleTapeli huyu jamaa. Yaani anakupa mchongo halafu anakuambia utakuwa unamuendesha bosi nikatie elfu 20 nikuunge ukitoa namba haipatikani jamaa atakuwa kapiga hela za faster na kutupa line hahahaha
Mimi ni bosi ila nimeona niwashauri vijana wasije pigwa na tapeliNa wewe umepigwa mkuu?? Pole
Kwa hiyo kuna watu wamekulalamikia wameshapigwa ama??Mimi ni bosi ila nimeona niwashauri vijana wasije pigwa na tapeli
Hakuna kazi inayotangazwa kirahisi namna hiyo bosi. Mfano kuna tapeli mmoja lisema anaweza kureset iphone etc hasa zenye mikataba alikuwa anaibia watu shs elfu saba au tano yule jamaa alipiga sana helaKwa hiyo kuna watu wamekulalamikia wameshapigwa ama??
Meseji yako imetoa conclusion kuwa jamaa ni tapeli sio kutoa tahadhari.
Nimekuwaza juzi usk..nikasema labda umebanwa.majukumu...habar za hukoTushapotezana shem, mambo?
Niachie mimi hii nafasi mkubwa..nipate maisha😅😅 hajatangaza jinsia mkuu..
Jf hua ni kawaida kuchafuliwa tu...ajabu hatajitokezaAliyeombwa TZS. 20,000 aseme
Mbona mimi nimepiga simu hajanitoza hiyo hela? Kaniambia lunch time niende Masaki kwenye interviewTapeli huyu jamaa. Yaani anakupa mchongo halafu anakuambia utakuwa unamuendesha bosi nikatie elfu 20 nikuunge ukitoa namba haipatikani jamaa atakuwa kapiga hela za faster na kutupa line hahahaha
Anajiita ChawaWaMama mtu akianza kijidhalilisha kwa kujifananisha na mdudu mpenda uchafu, huyo muogopeni sanaJf hua ni kawaida kuchafuliwa tu...ajabu hatajitokeza
Huko masaki ndiyo vijana wanaliwa sana tigoMbona mimi nimepiga simu hajanitoza hiyo hela? Kaniambia lunch time niende Masaki kwenye interview
Niko poa shem mpendwa.Nimekuwaza juzi usk..nikasema labda umebanwa.majukumu...habar za huko
Shem umekua jau sana... na leo ijumaa mate yamejaa mdomoni ghaflaNiko poa shem mpendwa.
Nilikuwa nachakarika kukutafutia ile wine🤣
Mambo yamenyooka wewe sema swiii...Shem umekua jau sana... na leo ijumaa mate yamejaa mdomoni ghafla