Natafuta pikipiki ya mkataba

genius mvivu

Senior Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
156
Reaction score
275
Kwema wandugu....! Mbele yenu ni kijana wa miaka 24 na form six leaver miaka minne nyuma natumia jukwaa hili la jf kuomba msada jinsi ya kupata pikipiki ya mkataba kwani Niko katika jiji la Amoc makala na nikiwa nimekata tamaa na mafanikio na kazi nayoifanya...Incase ya dhamana sina chochote zaidi ya certificate zangu za kitaaluma na kitambulisho cha taifa
 
Ujuzi wa kuendesha pikipiki unao?
 
Unataka ya mkataba hutaki ya kuleta hesabu kikawaida?

Kwa mkataba unatoa shilingi ngapi kwa Tajiri kwa siku?
 
Kaka habari... Karibu WATU Credit.. Tupo Mwenge Vinyago, Tegeta na Temeke... tunatoa mikopo ya pikipiki kwa kianzio cha Tsh 300,000 unakua unafanya marejesho kwa wiki, mkataba ni kuanzia mienzi 8 hadi 15. Vigezo vyetu ni Barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa, kitambulisho hallie Kati ya NIDA, Leseni, Voter ID, Mdhamini mmoja mwenye umri kuanzia miaka 21 na TIN CERTIFICATE.
Tuna pikipiki za INDIA pekee TVS, BOXER na HUNTER.
Karibu sana
 
Mbona kwenye vitambulisho hivi Passport ya kusafiria haipo. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒHuu utani wa ngumi. Inakuwaje passport inakosa thamani kuliko VOTER ID. Ngoja tuwataarifu uhamiaji
 
Isee hii tamu...ebu nipe comtact zenu nifanye mkakati wakutoka hapa kwa mama wa kambo
 
Isee hii tamu...ebu nipe comtact zenu nifanye mkakati wakutoka hapa kwa mama wa kambo
Ila nimeshangaa kwenye vitambulisho Passport ya kusafiria haijawekwa. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Ila nimeshangaa kwenye vitambulisho Passport ya kusafiria haijawekwa. πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Wanajua sie wananchi hagukwei pipa soo hizo walizoweka zinatosha wacha tukafanye jitihada za kututoa kwenye umaskini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…