Natafuta platform ya watu hawa kwenye mitandao ya kijamii ili nichangamane nao mwakani

Nipo tayari na nimekidhi vigezo, isipokuwa kigezo namba tatu. Ninayo mahusiano mazuri na Mungu lakini sio mungu wa watumwa na wanafiki (Abrahamic).
 
Watafute Jehovah's witnesses.
 
Wasiliana na ile kamati ya viongozi wa dini, wako tayari kama posho iko tayari.
 
Jitengeneze wewe tukufollow
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…