Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Fanya tuanzie congo, then Palestina... kumbuka ujasiri upo, tatizo nauli mjomba..!sasa hapo si tutakua tunapanga inategemea tunaenda nchi gan
kama unaweza kwenda huko huwezi kosa nauliFanya tuanzie congo, then Palestina... kumbuka ujasiri upo, tatizo nauli mjomba..!
sasa hao raia wa magharibi au kenya hapana wanaweza kukuuza huko njeSafi sana.
Nilikuwa nafikiria sana kuanzisha uzi kama huu. Ungekuwa mwanamke ungepata kampani yangu.
Mimi nimekuwa nikisafiri nchi mbalimbali peke yangu hapo kabla hadi sasa naendelea na utaratibu huo lakini bahati nzuri nimepata kampani ya watu wa kusafiri nao kutoka Afrika ya Magharibi, Kusini na Mashariki.
Hivyo wewe safiri tu utakutana na kampani huko raia wa Tanzania na hata wa nje, hakika utafurahia safari zako.
meWewe jinsia gani? Maana kuna wengine wanapenda vizinga balaa.
Hata sisi tunaweza kuwauza.sasa hao raia wa magharibi au kenya hapana wanaweza kukuuza huko nje
๐๐๐ndio lakin tofaut mfano na wakenya wao hawana ujamaa kwene damu yao wao n full capitalist they can do anything for moneyHata sisi tunaweza kuwauza.
Hao ndio watu utakaokutana nao nchi mbalimbali.
uwe na hela yako lakin maana nyie mademu ๐๐usije ukanifilisiNiko hapa
Utatuliwa kama migogoro ya kisiasaMii ni member lenye miraba yake kabisaa...
๐ mbona hamna mahali nilipoomba pesa sasa jamani ๐ ๐ ๐uwe na hela yako lakin maana nyie mademu ๐๐usije ukanifilisi
Vipo vya kutatuliwa... Sio wakurungwa!Utatuliwa kama migogoro ya kisiasa