Natafuta rafiki/mchumba aje kuwa mume

Natafuta rafiki/mchumba aje kuwa mume

Bora utafute pesa usomeshe mtoto kuliko kutafta Mme!
Jiweke vizur, jipende mwanaune watajipendekeza wenyewe bila kujua unamtoto hapo ndo utakula kichwa!
Kwa kutangaza unamtoto unakmbza mabwana
wenye akili wataelewa coz ukificha now mtu aje kugundua baadae huoni kwamba itakuwa tatizo zaidi
 
wewe
Inaonanyesha ww muislam jina tu usituzinguwe, muumin wa kiislam habadili dini kwa kutaka mume.
wewe wasema.then tuheshimiane usiniletee lugha za kihuni,suala la kubadili dini kwangu naona sawa kwa kuwa naamini Mungu ni mmoja,na sihitaji kuwa na ndoa ambayo haina kibali mbele za mungu pia mimi binafsi nisingependa mwanaume abadili dini sihitaji kuonekana namtawala ila nimpe heshima yake kama mume.......so "sikizungui"
 
Nakubaliana na wewe mkuu manake baba wa mtoto lazima aje nyumbani kwako mara kwa mara kumtembelea mtoto wake na hapo huyo baba hataogopa kuja hata ukiwa umesafiri manake anajustification tayari ya kuja kwako na historia inaonyesha lazima wakumbushane na x wake wa zamani
ni mtazamo wako tu ila mimi huwa siangalii nyuma once ninapoamua kusonga mbele na tuliachana tangu mtoto ana miaka mitatu namrudia ili iweje
 
Kwakweli..............

Umesema una hofu ya mungu????!!!!
Alaf upo tayal kubadili dini???

Kweli una shida ya ndoa...
Kila la kheri
ninayo na ndio maana sitaki kuwa na ndoa isiyo na kibali mbele za mungu,na nitabadili kama itabidi ili tusizini
 
nad
Kubadili dini alaf wasema una hof ya mungu ww hujtambui[/nadhani wewe ndo hujitambui na ndo maana hutambui pia kama wakristo na waislam wanaabudu Mungu mmoja sasa nitakosaje hofu ya mungu kama naamini Mungu ni mmoja tu ila muhimu wote kuchagua kuelekea sehemu moja ili kuabudu kwa nafasi
 
Basi mimi hataka nikuzuie usibadili dini
Lakin uwe mke wa pili unakubali???
 
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Baba mtoto alikufa???[emoji51][emoji51]
 
Nilitaka kujitosa lkn jina lako la "SIMBA JIKE" limenitisha sana maana sikuzote nyikani Simba jike ndio wanaoongoza kwa ukali. ..
 
wenye akili wataelewa coz ukificha now mtu aje kugundua baadae huoni kwamba itakuwa tatizo zaidi
Hapaswa kujua, akijua tu unatoto hamu na we we inaisha, ataishia kula uroda tu,
Usimwambie chochote, mpagawishe na mahaba, akikolea na tayar ushamwngza gharama za kifedha nyingi kulko maelezo, hata akijua ataishia kulia hakuachi, ndo inakuwa imekula kwake!
Upo hapo?
 
uko vizuri ila umechelewa kidogo tu nimeoa mwaka jana vinginevyo ningekupm
 
natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Kabila na vipimo vya maumbile kama vile uzito, urefu, nk
 
Mm nina wake watatu na watoto 9.vigezo vyote nnavyo unaonaje uwe mke wa nne?
 
Back
Top Bottom