simba jike
Senior Member
- Mar 23, 2017
- 182
- 537
- Thread starter
-
- #81
wenye akili wataelewa coz ukificha now mtu aje kugundua baadae huoni kwamba itakuwa tatizo zaidiBora utafute pesa usomeshe mtoto kuliko kutafta Mme!
Jiweke vizur, jipende mwanaune watajipendekeza wenyewe bila kujua unamtoto hapo ndo utakula kichwa!
Kwa kutangaza unamtoto unakmbza mabwana
wewe wasema.then tuheshimiane usiniletee lugha za kihuni,suala la kubadili dini kwangu naona sawa kwa kuwa naamini Mungu ni mmoja,na sihitaji kuwa na ndoa ambayo haina kibali mbele za mungu pia mimi binafsi nisingependa mwanaume abadili dini sihitaji kuonekana namtawala ila nimpe heshima yake kama mume.......so "sikizungui"Inaonanyesha ww muislam jina tu usituzinguwe, muumin wa kiislam habadili dini kwa kutaka mume.
ni mtazamo wako tu ila mimi huwa siangalii nyuma once ninapoamua kusonga mbele na tuliachana tangu mtoto ana miaka mitatu namrudia ili iwejeNakubaliana na wewe mkuu manake baba wa mtoto lazima aje nyumbani kwako mara kwa mara kumtembelea mtoto wake na hapo huyo baba hataogopa kuja hata ukiwa umesafiri manake anajustification tayari ya kuja kwako na historia inaonyesha lazima wakumbushane na x wake wa zamani
ninayo na ndio maana sitaki kuwa na ndoa isiyo na kibali mbele za mungu,na nitabadili kama itabidi ili tusiziniKwakweli..............
Umesema una hofu ya mungu????!!!!
Alaf upo tayal kubadili dini???
Kweli una shida ya ndoa...
Kila la kheri
Kubadili dini alaf wasema una hof ya mungu ww hujtambui[/nadhani wewe ndo hujitambui na ndo maana hutambui pia kama wakristo na waislam wanaabudu Mungu mmoja sasa nitakosaje hofu ya mungu kama naamini Mungu ni mmoja tu ila muhimu wote kuchagua kuelekea sehemu moja ili kuabudu kwa nafasi
wewe ndo hujitambui na ndo maana hutambui kuwa Mungu ni mmoja,acha ubaguzi mbona huwa hushangai mkristo kumfuata mwislamKubadili dini alaf wasema una hof ya mungu ww hujtambui
Baba mtoto alikufa???[emoji51][emoji51]natafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
Hapaswa kujua, akijua tu unatoto hamu na we we inaisha, ataishia kula uroda tu,wenye akili wataelewa coz ukificha now mtu aje kugundua baadae huoni kwamba itakuwa tatizo zaidi
Mi nimekupenda wewekila la kheri
na uwe mvumilivu na maneno ya waja.
maana wengi watakuja kukuumiza na comment zao.
Kabila na vipimo vya maumbile kama vile uzito, urefu, nknatafuta mwanaume ambaye mwenyezi mungu akijaalia aje kuwa mume na baba wa watoto wangu,mimi nina miaka 30,nina fanya kazi kwa mtu binafsi,nina kipato cha kawaida sana ila namshukuru mungu,nina mtoto mmoja ambaye nilizaa nikiwa na miaka 18, sasa yupo form one,kwa imani mimi ni muislam ila ninaweza kubadili dini kama tukielewana na kupendana familia yangu haina kipingamizi na hilo,nahitaji mwanamume,mstaarabu,mwenye upendo kwa watu wote ampende pia mtoto wangu, na kama ana mtoto niko tayari pia kumpokea kama yeye atakavyompokea wa kwangu,awe mwenye kujali na kujua majukumu yake na sio kila kitu kuambiwa,tuzungumze lugha moja ambayo ni upendo,awe mtanashati kimavazi na kimuonekano(me ni mnene kiasi ila najitahidi sana kuwa smart na nimefanikiwa),mwenye hofu ya Mungu ili tujenge familia yenye kumjua Mungu.umri kuanzia 30 na kuendelea.mengineyo tutaelezana baada ya kuelewana.
asante.Mi nimekupenda wewe